
|
Teuvo Kopra:
Maana ya majina ya Biblia
A Abramu = Baba aliyeinuliwa Adamu = Mwanadamu. Wanadamu. Mwekundu Agabo = Kupenda Agagi = Mwenye fitina Agripa = Farasi mwitu Ahabu = Ndugu ya baba Ahasuero = Mtawala. Mfalme Ai = Maporomoko Akani = Ajali. Msababishji wa ajali Akila = Tai Amori = Wa-mlima Amosi = Aliyesumbuliwa. Mbeba mzigo. Mwenye nguvu. Anania = Yehova ni mwenye neema Anasi = Mungu ni wahuruma Andrea = Mwanamume Apolo = Miungu wa Waapolonia Areopago = Vilima vya (mungu) Aresi Arkipo = Mtawala wa farasi Asa = Daktari. Mponyaji Asafu = Mkusanyaji Asheri = Heri. Mwenye heri Athene = Mji wa (mungu) Athene Augusto = Anayestahili sifa Ayubu = Anayechukiwa. Mwenyekutubu
B Babeli = Anayeingiza kwenye vurugu. Mvurugaji Balaamu = Mgeni Balaki = Mwangamizaji Barnaba = Kijana wa faraja Bartholomayo = Mwana wa Talmai Bartimayo = Mwana wa Timayo Bath-sheba = Binti wa kiapo. Binti wa saba Beelzebuli = Bwana wa inzi Beer-sheba = Kisima ya kiapo. Kisima ya saba Belshaza = Mfalme alindwa (mungu) Beel Belteshaza = Beel (mungu) alinda uhai wake Benyamini = Mwana wa furaha (yaani mwana wa mkono wa kulia) Bethania = Kijiji cha maskini Betheli = Nyumba ya Mungu Bethfage = Sehemu ya kutunza mizabibu mabichi Bethsaida = Eneo la kuvua samaki Bethzatha = Nyumba ya upole Betlehemu = Nyumba ya mikate Boanerge = Wana wa ngurumo Bonde la Akori = Ajali
D Dani = Hakimu Danieli = Mungu ni hakimu wangu Dario = Mtawala. Anayechipusha Daudi = Anayependwa Debora = Nyuki Dekapoli = Mji wa kumi Delila = Anayependa kujipendekeza Dema = Mwanaume wa watu
E Eben-ezeri = Jiwe la msaada Edeni = Uzuri Edomu = Nyekundu Efeso = Anayetamaniwa. Anayetakwa Efraimu = Tunda lenye sehemu mbili. Mwenye matunda Eli = Mungu wangu Elimeleki = Mungu ni mfalme Elimu = Miti ya mitende. Mikaratusi Elisabeti = Mungu wa kiapo. Mungu ni kiapo Elisha = Mungu ni wokovu Eliya = Yehova ni Mungu Emau = Vizima moto Epafra = Kwa mungu jike wa Afrodite Erasto = Anayependwa Esau = Mwenye nywele Esta = Nyota. Mungu wa kike Ezekieli = Mungu ni mwenye nguvu. Mungu anatia nguvu Ezra = Msaada
F Farao = Nyumba kubwa Feliki = Mwenye furaha Festo = Mwenye sherehe Filadelfia = Upendo wa ndugu Filemoni = Mwenye upendo. Mkarimu Filipo = Rafiki wa farasi. Anayependa farasi Filisti = Kutoka Foinike = Nchi ya mitende
G Gabrieli = Mtu wa Mungu Gadi = Furaha. Bahati Galilaya = Eneo. Sehemu Gamalieli = Zawadi ya Mungu. Mungu anatoa thawabu Gathi = Kinu ya kukamulia zabibu Gaza = Nguvu. Ushujaa Gehazi = Bonde la maono Genesareti = Bustani za watawala Gershoni = Aliyefukuzwa. Mgeni Gethsemane = Chombo cha kukamulia mafuta Gideoni = Anayepiga hadi kufa. Gileadi = Nguvu. Ngumu Gilgali = Duara Golgotha = Fuvu Gomora = Gharika
H Habakuki = Kumbatia Habili = Uvumi wa upepo. Mbuga Hagai = Penye sherehe Hajiri = Kimbia. Uhamaji. Safari Hamu = Moto. Vuguvugu. Giza. Nyeusi Hana = Aliyerehemiwa Har-Magedoni = Mlima wa Har-Magedoni Harani = Njia. Mtaa Haruni = Aliyeangaza. Anayeangaa Hawa = Uhai Hebroni = Umoja Henoko = Aliyeolewa. Kuweka wakfu Hermoni = Patakatifu Herode = Shujaa. Mungu nusu Herodia = Shujaa Hezekia = Mungu ni nguvu yangu Hidekeli = Tigris = Mkali na anayekwenda kasi. Panapootesha mtende Horebu = Pakavu. Pasipo na kitu Hosana = Wokovu. Atoaye afya. Anayetoa maendeleo. Hosea = Wokovu Huri = Shimo. Mweupe. Amezaliwa kwa uhuru.
I Ibrahimu = Baba wa wengi Imanueli = Mungu pamoja nasi Isakari = Yeye anatoa ajira. Ananipa mshahara Isaya = Yahwe anaokoa. Yahwe ni wokovu Ishmaeli = Mungu anasikia maombi Iskariote = Mwanamume wa Kerioti. Mtumia kisu Israeli = Mungu anapigana. Anapigana na Mungu
K Kadeshi = Patakatifu. Palipowekwa wakfu Kaini = Aliyepatikana. Mkuki. Kaisaria = Wa kaisari Kalebu = Mbwa Kana = Bomba la tawi Kapernaumu = Kijiji cha Nahumu Karmeli = Bustani (ya Mungu) Kayafa = Bonde dogo. Anayetafsiri ishara Kefa = Mwamba Kenkrea = Mji wa mtama Kerithi = Iliyokatwa Kishi = Upinde Kishoni = Iliyojipinda. Iliyo na mapindo Kolosai = Mji wa sanamu Kornelio = Mwenye pembe Krispo = Nywele zenye mawimbi
L Labani = Mweupe Laodikia = Utawala wa watu Lawi = Umoja. Nia moja Lazaro = Eleasar = Mungu ni msaada. Mungu amesaidia Lea = Aliyechoka. Mwenye nguvu. Malkia wa nyumba Lebanoni = Mweupe Luka = Mwanga. Kuangaza Lutu = Shera. Pazia
M Magdalene = Anayetoka Magdala Malaki = Malaika wangu. Mpeleka ujumbe Mamra = Mafuta. Unene Manase = Yeye (Mungu) amenifanya kusahau Mariamu = Uchungu. Ubishi Martha = Malkia Mathayo = Zawadi ya Yehova Melkizedeki = Mfalme wa busara Methusela = Mtu wa mkuki Midiani = Hukumu. Mapambano Mika, Mikaya = Nani kama Yehova Mikaeli = Nani anayelingana na Yehova Miriamu = Uchungu. Ubishi Mlima wa Mizeituni = Kinu cha kukamulia zabibu Moabu = Kutoka kwa baba (baba wa mama) Moleki = Mfalme Mordekai = (Miungu) kwa Marduki. Kutoka Marduki Moria = Mungu anajitokeza. Aliyeonwa na Mungu Musa = Anayevutwa juu
N Naamani = Uzuri. Anayependeza Nadabu = Anayejitoa. Mzuri Naftali = Mapambano. Vita vyangu Nahumu = Anayeleta faraja Naini = Mzuri. Kupendeza Naomi = Uzuri wangu. Anayenipendeza. Mzuri Nathanaeli = Mungu ametoa Nathani = Yeye (Mungu) ametoa Nazareti = Mwenye matawi mengi. Mtawala wakike Nebukadneza = Nabu (mungu) anayelinda mipaka Nehemia = Yehova anafariji Nikodemo = Mshindi wa mtaifa Nile = Mto. Gharika. Mkondo Nuhu = Mapumziko
O Obadia = Mtumishi wa Yehova Onesimo = Mwenye faida. Anayesababisha baraka
P Paulo = Mdogo Penina = Ushanga Penueli = Uso wa Mungu Pergamo = Maisha ya ndoa Petro = Jiwe. Mwamba Pilato = Aliyejiandaa kwa mkuki Potifa = Mkuu wa walinzi Potifera = Zawadi ya Ra (mungu wa jua) Prisila = Priska mdogo Priska = Mzee. Anayestahili heshima Publio = Wa-watu
R Rabi = Bwana wangu Raboni = Bwana wangu (mkuu kuzidi Rabi) Rahabu = Paana Raheli = Kondoo jike Rebeka = Mtego. Anayejipendekeza Reubeni = Yeye (Bwana) ameona unyonge wangu. Angalieni kijana Rumi = Mji wa vilima saba Ruthu = Urafiki
S Safira = Mzuri. Anayependeza Salemu = Mpole. Tengamaa Samaria = Ulinzi. Eneo la ulinzi Samsoni = Mwenye nguvu. Mwenye mwanga Samweli = Aliyesikilizwa na Mungu. Sanbalati = Sin (mungu) amemfanya awe na uhai Sara = Anayetawala. Malkia Sarai = Ukoo wa kifalme Sarepta = Mahali pa usafisho Sauli = Aliyeombwa Sayuni = Ngome. Maangamizi. Mahame Sefania = Yehova anaficha. Yehova ameficha Sefari = Anaunguza. Juu. Aliyeinuliwa Senakeribu = Sin (mungu) ameongeza hesabu za wandugu Sethi = Aliyewekwa sehemu ya pili. Kulipizwa Sharoni = Tambarare Shekemu = Mabega. Mgongo Shemu = Jina Shushani = Ua Sidoni = Aliyezungukwa na ngome. Kuvua samaki Sikari = Mlevi Sila = Amepatwa kwa maombi Siloamu = Aliyetumwa Silwano = Mungu wa msituni Simeoni = Kusikiliza maombi Simoni = Kusikiliza maombi Sinai = Kichaka chenye miiba Sintike = Mwenye furaha. Msaidizi Sipora = Ndege (mdogo) Sirti = Mchanga Skewa = Kushoto Smirna = Manemane. Mateso Sodoma = Iliyounguzwa (chomwa). Sehemu yenye chokaa Stefana = Aliyevikwa taji. Stefano = Taji Sulemani = Mpole
T Tabitha = Swala Tabori = Mlima Tarshishi = Jiwe la thamani. Lulu Tera = Swala wa mlimani Tertio = Wa-tatu Tertulo = Wa-tatu Theofilo = Rafiki ya Mungu Tikiko = Mwenye furaha Timayo = Aliyeheshimiwa. Mwenye heshima Timotheo = Anayeheshimu Mungu Tiro = Mwamba Tobia = Yehova ni mzuri Tomaso = Pacha Trofimo = Anayekuzwa
U Urimu na Thumimu = Ukamiliki na nuru Uru = Nuru. Miali (ya moto) Uyahudi = Nchi ya Mwayahudi
W V Waebrania = Wanatoka pande zingine. Wavuka mpaka. Wageni Wafilisti = Wanaotoka Vashti = (Mwanamke) mzuri
Y Yafethi = Yeye anapanua Yairo = Yeye anaangaza Yakobo = Anayeshika kisigino. Msaliti Yeftha = Yeye (Mungu) anafungua Yeremia = Mungu ni mkuu. Mungu anainua. Yeriko = Mji wa manukato. Mji wa mwezi mpya Yeroboamu = Mataifa watakuwa wengi. Taifa litapigana. Yerusalemu = Msingi wa amani. Nyumba ya amani. Yesu = Yoshua = Mungu anaokoa. Mungu ni wokovu Yezebeli = Ambaye hajaolewa. Kuinua Yezreeli = Mungu anapanda Yoabu = Yehowa ni baba Yoashi = Bwana anatoa. Bwana anakuja (kusaidia) Yoeli = Bwana ni Mungu Yohana = Yehova ni wa huruma Yona = Njiwa Yonathani = Yehova ametoa Yordani = Unawaanguka. Unawatelemka Yoshua = Yesu = Yehova anaokoa. Yehova ni wokovu Yuda = Yeye (Bwana) ashukuriwe. Anayeshukuriwa Yusufu = (Bwana) anaongeza. Anafukuza
Z Zabuloni = Makao. Pakuishi. Nyumbani Zakaria = Yehova amekumbuka Zebedayo = Zawadi ya Mungu. Mungu ni zawadi Zekaria = Yehova amekumbuka Zena = Zawadi ya Zeus (miungu)
Copyright Teuvo Kopra
|